Friday, December 1, 2017

SERIKALI YAENDESHA MDAHALO KUJADILI MAADILI NA HAKI ZA BINADAMU NCHINI

TAARIFA KWA UMMA

TAARIFA KWA UMMA

Kamishna wa Maadili ya Viongozi wa Umma, Mhe. Jaji (Mst.) Harold R. Nsekela akitoa maelezo ya awali wakati wa mdahalo wa wadau wa Maadili na Haki za Binadamu ulioandaliwa na Serikali kwa lengo la kupokea maoni yatakayowesha kujenga, kukuza Maadili na kuhimiza uzingatiaji wa Haki za Binadamu nchini.

Sehemu ya wadau walioshiriki mdahalo wa Maadili na Haki za Binadamu ulioandaliwa na Serikali kwa lengo la kupokea maoni yatakayowezesha kujenga, kukuza Maadili na kuhimiza uzingatiaji wa Haki za Binadamu nchini.

Baadhi ya maofisa wa Idara ya Ukujazi wa Maadili wa Ofisi ya Rais-UTUMISHI na Utawala Bora, wakisikiliza kwa makini hoja mbalimbali  zilizotolewa katika mdahalo wa wadau wa Maadili na Haki za Binadamu ulioandaliwa na Serikali kwa lengo la kupokea maoni yatakayowezesha kujenga, kukuza Maadili na kuhimiza uzingatiaji wa Haki za Binadamu nchini.

Dkt. Chris Mauki akiwawasilisha mada kuhusu mambo ya kuzingatia ili kujenga na kukuza maadili nchini wakati wa mdahalo wa wadau wa Maadili na Haki za Binadamu ulioandaliwa na Serikali kwa lengo la kupokea maoni yatakayowezesha kujenga, kukuza Maadili na kuhimiza uzingatiaji wa Haki za Binadamu.

Mwendesha mdahalo, Prof. Peter Kapoka (wa pili kushoto) akiongoza mjadala wa wadau wa Maadili na Haki za Binadamu ulioandaliwa na Serikali kwa lengo la kupokea maoni yatakayowezesha kujenga, kukuza Maadili na kuhimiza uzingatiaji wa Haki za Binadamu nchini.

Mmoja wa wadau wa Maadili na Haki za Binadamu akijangia hoja katika mdahalo ulioandaliwa na Serikali kwa lengo la kupokea maoni yatakayowezesha kujenga, kukuza Maadili na kuhimiza uzingatiaji wa Haki za Binadamu nchini.

Mmoja wa wadau wa Maadili na Haki za Binadamu akijangia hoja katika mdahalo ulioandaliwa na Serikali kwa lengo la kupokea maoni yatakayowezesha kujenga, kukuza Maadili na kuhimiza uzingatiaji wa Haki za Binadamu nchini.

Katibu wa Tume ya Utumishi wa Umma, Bw. Nyakimura M. Muhoji akitoa neno la shukrani kwa wadau walishiriki mdahalo kuhusu Maadili na Haki za Binadamu ulioandaliwa na Serikali kwa lengo la kupokea maoni yatakayowezesha kujenga, kukuza Maadili na kuhimiza uzingatiaji wa Haki za Binadamu nchini.

No comments:

Post a Comment