Thursday, November 2, 2017

MIKOPO YENYE THAMANI YA SHILINGI 679,400,000/= YAWANUFAISHA VIJANA WALIOHITIMU MAFUNZO KATIKA VYUO VYA UFUNDI STADI NCHINI



Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais-Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Kapteni (Mstaafu) Mhe. George H. Mkuchika akiwasilisha Taarifa ya Utendaji ya Mfuko wa Rais wa Kujitegemea (PTF) kwenye Kamati ya Bunge ya Kudumu ya Utawala na Serikali za Mitaa.

Baadhi ya wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Kudumu ya Utawala na Serikali za Mitaa wakimsikiliza Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais-Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Kapteni (Mstaafu) Mhe. George H. Mkuchika wakati akiwasilisha Taarifa ya Utendaji ya Mfuko wa Rais wa Kujitegemea (PTF).

Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Kudumu ya Utawala na Serikali za Mitaa, Mhe. Mwanne Ismail Mchemba (Mb) akichangia hoja mara baada ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais-Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Kapteni (Mstaafu) Mhe. George H. Mkuchika kuwasilisha Taarifa ya Utendaji ya Mfuko wa Rais wa Kujitegemea (PTF) kwa kamati hiyo.

Baadhi ya wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Kudumu ya Utawala na Serikali za Mitaa wakimsikiliza Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais-Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Kapteni (Mstaafu) Mhe. George H. Mkuchika wakati akiwasilisha Taarifa ya Utendaji ya Mfuko wa Rais wa Kujitegemea (PTF).

No comments:

Post a Comment