Friday, August 25, 2017

MHE. KAIRUKI AKUTANA NA KAIMU BALOZI WA MAREKANI NA UJUMBE WAKE

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Angellah J. Kairuki (Mb) akimkaribisha Kaimu Balozi wa Marekani nchini Tanzania, Bi. Inmi Patterson (kushoto) na ujumbe alioambatana nao alipotembelea ofisini kwake jijini Dar es Salaam. 
Kaimu Balozi wa Marekani nchini Tanzania, Bi. Inmi Patterson (kushoto) akisaini kitabu cha wageni alipomtembelea Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Angellah J. Kairuki (Mb) ofisini kwake jijini Dar es Salaam.


Kaimu Balozi wa Marekani nchini Tanzania, Bi. Inmi Patterson (kushoto) akizungumza na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Angellah J. Kairuki (Mb) alipomtembelea ofisini kwake jijini Dar es Salaam.

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Angellah J. Kairuki (Mb) akizungumza na Kaimu Balozi wa Marekani nchini Tanzania, Bi. Inmi Patterson (kushoto) alipomtembelea ofisini kwake jijini Dar es Salaam.

No comments:

Post a Comment