Monday, August 21, 2017

Watanzania nane wapata ufadhili wa masomo chini ya Mpango wa ABE

Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais-Utumishi, Dkt. Laurean Ndumbaro akizungumza katika hafla fupi ya kuwaaga Watanzania waliopata fursa ya kuhudhuria mafunzo nchini Japani chini ya ufadhili wa Serikali ya Japani kupitia mpango wa ABE Initiative, iliyofanyika Jijini Dar es Salaam. 
Mwakilishi Mkazi Mwandamizi wa JICA Bw. Toshio Nagase akizungumza katika hafla fupi ya kuwaaga Watanzania waliopata fursa ya kuhudhuria mafunzo nchini Japani chini ya ufadhili wa Serikali ya Japani kupitia mpango wa ABE Initiative, iliyofanyika jijini Dar es Salaam.



Washiriki wakimsikiliza Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais-Utumishi, Dkt. Laurean Ndumbaro (hayupo pichani) wakati wa hafla fupi ya kuwaaga Watanzania waliopata fursa ya kuhudhuria mafunzo nchini Japani chini ya ufadhili wa Serikali ya Japani kupitia mpango wa ABE Initiative, iliyofanyika Jijini Dar es Salaam.

Mmoja wa wanufaika wa Mpango wa Mafunzo ya ABE akielezea alivyonufaika na mafunzo hayo wakati wa hafla fupi iliyofanyika jijini Dar es Salaam ya kuwaaga Watanzania nane waliopata ufadhili wa masomo chini ya Mpango huo. 


No comments:

Post a Comment