Thursday, August 3, 2017

KATIBU MKUU UTUMISHI AKUTANA NA UONGOZI WA CHAMA CHA MADEREVA WA SERIKALI

Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais-Menejimenti ya Utumishi wa Umma Dkt. Laurean Ndumbaro  (mwenye tai) katika picha ya pamoja na uongozi wa Chama cha Madereva wa Serikali (CMSP) mara baada ya kujadili masuala mbalimbali ya kiutendaji ofisini kwake mjini Dodoma leo.


No comments:

Post a Comment