Thursday, August 3, 2017

Miundo ya UTUMISHI

"Watumishi wa Umma ambao Miundo yao ya Maendeleo ya Utumishi iliwataka kuwa na sifa ya kufaulu mtihani wa kidato cha Nne wakati wanaajiriwa, na ambao hawajawasilisha vyeti vyao kwa ajili ya kuhakikiwa na Baraza la Mitihani Tanzania mishahara yao isimamishwe kuanzia mwezi Julai, 2017 hadi watakapowasilisha vyeti hivyo kwa ajili ya kuhakikiwa"
Ofisi ya Rais-Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Julai 13/2017

No comments:

Post a Comment