Thursday, August 24, 2017

MHE. KAIRUKI AFANYA MAZUNGUMZO YA KIKAZI NA BALOZI WA JAPAN NCHINI TANZANIA

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Angellah J. Kairuki (Mb) akizungumza na Balozi wa Japan nchini Tanzania, Bw. Masaharu Yoshida (kushoto) alipofanya ziara ya kikazi ofisini kwake. 
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Angellah J. Kairuki (Mb) akimsikiliza Balozi wa Japan nchini Tanzania, Bw. Masaharu Yoshida (kushoto) alipofanya ziara ya kikazi ofisini kwake. 



Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Angellah J. Kairuki (Mb) akizungumza na Balozi wa Japan nchini Tanzania, Bw. Masaharu Yoshida ()kulia alipofanya ziara ya kikazi ofisini kwake. 

No comments:

Post a Comment