Thursday, June 11, 2015

MKUTANO WA PILI WA BARAZA KUU LA TATU LA WAFANYAKAZI KATIKA UTUMISHI WA UMMA

Baadhi ya wajumbe wa Mkutano wa Pili wa Baraza Kuu la Tatu la Wafanyakazi katika Utumishi wa Umma wakiwa katika mkutano huo ulifanyika mjini Dodoma katika Ukumbi wa St. Gaspar Hotel.

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma Mh. Celina O. Kombani (Mb) akifungua Mkutano wa Pili wa Baraza Kuu la Tatu la Wafanyakazi katika Utumishi wa Umma mjini Dodoma katika Ukumbi wa St. Gaspar Hotel.

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma Mh. Celina O. Kombani (Mb) akizungumza wakati akifungua  Mkutano wa Pili wa Baraza Kuu la Tatu la Wafanyakazi katika Utumishi wa Umma mjini Dodoma katika Ukumbi wa St. Gaspar Hotel. Kulia kwake ni baadhi ya waandishi wa habari wakifutilia hotuba yake kwa umakini.


Mkurugenzi wa Idara ya Uendelezaji Sera wa Ofisi ya Rais-Utumishi Bw. Mathias B. Kabunduguru akizungumza katika Mkutano wa Pili wa Baraza Kuu la Tatu la Wafanyakazi katika Utumishi wa Umma mjini Dodoma katika Ukumbi wa St. Gaspar Hotel.


Kaimu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais - Utumishi wa Umma Bw. HAB Mkwizu (kulia) akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais - Utumishi Mh. Celina O. Kombani (Mb) kufungua Mkutano wa Pili wa Baraza Kuu la Tatu la Wafanyakazi katika Utumishi wa Umma mjini Dodoma katika Ukumbi wa St. Gaspar Hotel.

No comments:

Post a Comment