Tuesday, June 16, 2015

MAADHIMISHO YA WIKI YA UTUMISHI WA UMMA 2015 YAFUNGULIWA RASMI

Kaimu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma Bw.HAB Mkwizu akifungua rasmi Maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa Umma katika viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam.
Baadhi ya Washiriki kutoka Taasisi mbalimbali za Serikali wakimsikiliza Kaimu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Bw.HAB Mkwizu (hayupo pichani) katika ufunguzi wa Maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa Umma viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam
Baadhi ya Wakurugenzi na Watendaji Wakuu kutoka taasisi mbalimbali za Umma wakimsikiliza Kaimu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma Bw.HAB Mkwizu alipokuwa akifungua rasmi Maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa Umma katika viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam.
Kaimu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma Bw.HAB Mkwizu akisaini kitabu cha wageni alipotembelea  banda la Wakala ya Serikali Mtandao-eGA kabla ya kufungua rasmi Maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa Umma katika viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam.

Mkurugenzi Idara ya Uchambuzi  na Ushauri wa Kazi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma Bw.Mick Kiliba akimkaribisha mgeni rasmi Kaimu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma Bw.HAB Mkwizu (hayupo pichani) kufungua rasmi Maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa Umma katika viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam.

Baadhi ya Washiriki kutoka Taasisi mbalimbali za Serikali wakimsikiliza Kaimu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Bw.HAB Mkwizu (hayupo pichani) katika ufunguzi wa Maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa Umma viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam

No comments:

Post a Comment