Monday, May 4, 2015

UTUMISHI YAWASILISHA MPANGO WAKE KWA KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA KATIBA,SHERIA NA UTAWALA BORA


Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais-Utumishi Mh. Celine O. Kombani (Mb) (aliyenyanyua kitabu) akiwasilisha mpango wa mwaka 2015/16 katika kikao cha Kamati ya kudumu ya Bunge ya Katiba,Sheria na Utawala Bora kilichofanyika mwishoni mwa wiki kwenye ofisi ndogo za Bunge. Kulia kwake ni Waziri wa Nchi,Ofisi ya Rais Utawala Bora Mh.George H. Mkuchika  (Mb) na kushoto kwake ni Waziri wa Nchi,Ofisi ya Rais,Mahusiano na Uratibu Mh. Dkt.Mary Nagu. (Mb)

No comments:

Post a Comment