Thursday, October 23, 2014

UTUMISHI YAFANYA KIKAO KAZI KWA VIDEO CONFERENCE NA MIKOA YA SINGIDA,ARUSHA,DODOMA NA TUME YA MIPANGO

Naibu Katibu Mkuu Utumishi Bw.HAB Mkwizu (kulia) akifungua kikao kazi kwa njia ya Ki-elektroniki (video conference)kilichojumuisha Utumishi  na Mikoa ya Singida, Arusha,  Dodoma na Tume ya Mipango katika ukumbi wa Utumishi mapema leo.

Naibu Katibu Mkuu Utumishi Bw.HAB Mkwizu (kulia) akifuatilia mada wakati wa kikao kazi kilichofanyika kwa njia ya Ki-elektroniki (video conference) kati ya Utumishi  na Mikoa ya Singida, Arusha,  Dodoma na Tume ya Mipango katika ukumbi wa Utumishi mapema leo.

Afisa Utumishi Mwandamizi  wa Ofisi ya Rais-Utumishi Bi.Sakina Mwinyimkuu akiwasilisha katika kikao kazi kilichofanyika kwa njia ya Ki-elektroniki (video conference) kati ya Utumishi  na Mikoa ya Singida, Arusha,  Dodoma na Tume ya Mipango katika ukumbi wa Utumishi mapema leo. Wengine ni viongozi wa Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma  wakifuatilia mada.


Baadhi ya viongozi na watumishi wa Ofisi ya Rais,Menejimenti ya Utumishi wa Umma wakifuatilia mada  wakati wa kikao kazi kilichofanyika kwa njia ya Kielektroniki (video conference) kati ya Utumishi  na Mikoa ya Singida, Arusha,  Dodoma na Tume ya Mipango katika ukumbi wa Utumishi mapema leo 

Baadhi ya Wakurugenzi wa Ofisi ya Rais-Utumishi wakifuatilia mada  wakati wa kikao kazi kilichofanyika kwa njia ya Ki-elektroniki (video conference) kati ya Utumishi  na Mikoa ya Singida, Arusha,  Dodoma na Tume ya Mipango katika ukumbi wa Utumishi mapema leo.


Afisa Utumishi wa Ofisi ya Rais-Utumishi Bi.Magreth Ngondya (kushoto) akiwasilisha mada katika kikao kazi kilichofanyika kwa njia Ki- elektroniki (video conference) katika kikao kazi kati ya Utumishi  na Mikoa ya Singida, Arusha,  Dodoma na Tume ya Mipango katika ukumbi wa Utumishi mapema leo. Wengine ni viongozi wa Ofisi ya Rais,Menejimenti ya Utumishi wa Umma wakifuatilia mada.

No comments:

Post a Comment