Wednesday, November 20, 2019

KAMISHNA WA TUME YA MAADILI NA KUZUIA RUSHWA NCHINI KENYA ATEMBELEA OFISI YA RAIS UTUMISHI

Kaimu Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma, ACP Ibrahim Mahumi akimkabidhi Miongozo mbalimbali ya Mapambano dhidi ya Rushwa Kamishna wa Tume ya Maadili na Kuzuia Rushwa nchini Kenya, Bibi Rose Mghoi Machaira baada ya kikao kilichofanyika tarehe 18/11/2019 Ofisi ya Rais Utumishi, Mtumba, jijini Dodoma.

Kaimu Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma, ACP Ibrahim Mahumi akiwa katika picha ya pamoja na Kamishna wa Tume ya Maadili na Kuzuia Rushwa nchini Kenya, Bibi Rose Mghoi Machaira mara baada ya kikao kilichofanyika tarehe 18/11/2019 Ofisi ya Rais Utumishi, Mtumba, jijini Dodoma. Wengine ni Watendaji kutoka Ofisi ya Rais, Utumishi, Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma na Tume ya Maadili na Kuzuia Rushwa-Kenya.


No comments:

Post a Comment