Saturday, June 22, 2019

DKT. MWANJELWA ASHANGAZWA NA HALMASHAURI YA MANISPAA YA MOROGORO KUTOA KIWANJA KWA WAJASIRIAMALI KATIKA ENEO HATARISHI



Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Dkt. Mary Mwanjelwa (Mb) akizungumza na Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Mhe. Dkt. Kebwe Steven Kebwe alipomtembelea ofisini kwake kabla kuanza ziara ya kikazi ya kukagua vikundi vya wajasiriamali waliorasimishwa katika Manispaa ya Morogoro.

Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Dkt. Mary Mwanjelwa (Mb) akisalimiana na Mwenyekiti wa kikundi cha usindikaji wa vyakula na viungo, Bi. Emmy Kiula wakati wa ziara ya kikazi ya kukagua vikundi vya wajasiriamali waliorasimishwa katika Manispaa ya Morogoro.

Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Dkt. Mary Mwanjelwa (Mb) akimsikiliza Mwenyekiti wa kikundi cha utengenezaji wa milango na madirisha ya chuma, Bw. Abdallah Chunga alipofanya ziara ya kikazi ya kukagua vikundi vya wajasiriamali waliorasimishwa katika Manispaa ya Morogoro.

Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Dkt. Mary Mwanjelwa (Mb) akitoa maagizo kwa watendaji wa MKURABITA na Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro alipokuwa akihitimisha ziara yake ya kikazi ya kukagua vikundi vya wajasiriamali waliorasimishwa katika Manispaa ya Morogoro.

No comments:

Post a Comment