Waziri
wa Nchi, Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe.
Angellah J. Kairuki (Mb) (katikati) akizungumza mapema leo katika kipindi cha JAMBO
kinachotangazwa na TBC One kuhusu nafasi ya mwanamke katika uongozi katika
kuadhimisha Siku ya Wanawake Duniani. Wengine katika picha ni waongozaji wa kipindi hicho, kushoto ni Bi. Eshe Muhidin na kulia ni Bi. Angellah
Mang’enya wa TBC.
|
No comments:
Post a Comment