Wednesday, March 8, 2017

WANAWAKE WANA UWEZO MKUBWA KIUTENDAJI KATIKA JAMII YETU- Mhe. Kairuki

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Angellah J. Kairuki (Mb) (katikati) akizungumza mapema leo katika kipindi cha JAMBO kinachotangazwa na TBC One kuhusu nafasi ya mwanamke katika uongozi katika kuadhimisha Siku ya Wanawake Duniani. Wengine katika picha ni waongozaji wa kipindi hicho, kushoto ni Bi. Eshe Muhidin na kulia ni Bi. Angellah Mang’enya wa TBC.

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Angellah J. Kairuki (Mb) (katikati) akitoa msisitizo mapema leo katika kipindi cha JAMBO kinachotangazwa na TBC One kuhusu nafasi ya mwanamke katika uongozi ikiwa ni katika kuadhimisha Siku ya Wanawake Duniani. Wengine ni waongozaji wa kipindi hicho kushoto ni Bi. Eshe Muhidin na kulia ni Bi. Angellah Mang’enya.

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Angellah J. Kairuki (Mb) (kulia) akizungumza mapema leo katika kipindi cha JAMBO kinachotangazwa na TBC one-Taifa kuhusu nafasi ya mwanamke kwenye uongozi ikiwa ni katika kuadhimisha Siku ya Wanawake Duniani. 

Mkurugenzi wa Kitengo cha Anuai za Jamii, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma (katikati) Bi. Anne Mazalla akifafanua jambo mapema leo kuhusiana na masuala mbalimbali ya Anuai za Jamii katika Utumishi wa Umma na Siku ya Wanawake Duniani wakati wa Kipindi cha JAMBO kinachotangazwa na TBC one. Wengine ni waongozaji wa kipindi hicho kushoto ni Bi. Eshe Muhidin na kulia ni Bi. Angellah Mang’enya.

No comments:

Post a Comment