Tuesday, March 21, 2017

KAZI YA UHAKIKI WA TAARIFA ZA WATUMISHI


Mtumishi kutoka Ofisi ya Rais-UTUMISHI, Bw. Deograsius Michael, akiwa na Kitambulisho cha Taifa ili kuhakiki taarifa zake za kiutumishi.

Mkurugenzi wa Idara ya TEHAMA Serikalini, Bw. Priscus Kiwango akiwa na Mkurugenzi wa Idara ya Usimamizi wa Rasilimaliwatu Serikalini, Ofisi ya Rais-UTUMISHI, Bw. Ibrahim Mahumi wakihakiki taarifa za Watumishi wa Umma zilizowasilishwa Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora.

Mkurugenzi wa Idara ya Usimamizi wa Rasilimaliwatu Serikalini, Ofisi ya Rais-UTUMISHI, Bw. Ibrahim Mahumi akiangalia taarifa za Watumishi wa Umma zilizowasilishwa Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora.

1 comment:


  1. Hili swala la uhakiki ni muhimu ila ni swala endelevu ambalo hata siku moja haliwezi kukamilika kwa asilimia mia (100%) Kwa hiyo, nashauri mruhusu taratibu zingine za utumishi ziendelee, hususan kupanda vyeo na kubadilishwa madaraja. Uhakiki hauwezi kukamilika ila utapungua tu.

    ReplyDelete