Saturday, February 8, 2020

MHE. MKUCHIKA AITAKA TIRA KUHAKIKISHA KAMPUNI BINAFSI ZA BIMA ZINAFANYA KAZI KWA KUZINGATIA SHERIA, KANUNI NA TARATIBU ZA NCHI


Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Kapt. (Mst), Mhe. George H. Mkuchika (Mb) akifungua mafunzo ya maadili kwa kamati ya Uongozi ya Mamlaka ya Usimamizi wa Bima Tanzania yenye lengo la kuongeza ufanisi wa utendaji kazi, yaliyofanyika katika ukumbi wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dodoma leo. Kushoto ni Kamishna wa Bima kutoka Mamlaka ya Usimamizi wa Bima Tanzania Dkt. Mussa Juma.
Washiriki wa mafunzo ya maadili kwa kamati ya Uongozi ya Mamlaka ya Usimamizi wa Bima Tanzania yenye lengo la kuongeza ufanisi wa utendaji kazi wakimsikiliza Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Kapt. (Mst.), Mhe. George H. Mkuchika (Mb) wakati akifungua mafunzo hayo katika ukumbi wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dodoma leo.
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Kapt. (Mst.), Mhe. George H. Mkuchika (Mb) (katikati waliokaa) akiwa katika picha ya pamoja na washiriki wa mafunzo ya maadili kwa kamati ya Uongozi ya Mamlaka ya Usimamizi wa Bima Tanzania yenye lengo la kuongeza ufanisi wa utendaji kazi yaliyofanyika katika ukumbi wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dodoma leo. Kulia kwake ni Kamishna wa Bima kutoka Mamlaka ya Usimamizi wa Bima Tanzania, Dkt. Mussa Juma na Naibu Kamishna wa Bima, Bi. Khadija Issa Said (kushoto kwake).
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Kapt. (Mst.), Mhe. George H. Mkuchika (Mb) akiagana na Kamishna wa Bima kutoka Mamlaka ya Usimamizi wa Bima Tanzania, Dkt. Mussa Juma baada ya kufungua mafunzo ya maadili kwa kamati ya Uongozi ya Mamlaka ya Usimamizi wa Bima Tanzania yenye lengo la kuongeza ufanisi wa utendaji kazi, yaliyofanyika katika ukumbi wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dodoma leo.

No comments:

Post a Comment