Sunday, February 2, 2020

TAASISI ZA KIFEDHA ZAITHIBITISHIA SERIKALI KUTOA MIKOPO KUPITIA HATIMILIKI ZA KIMILA




Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Kapt (Mst) Mhe. George Mkuchika (Mb) akizungumza na Wananchi wa Kijiji cha Inzomvu, Wilayani Mpwawa jana wakati wa ziara yake ya kikazi ya kukagua utekelezaji wa miradi ya  Mpango wa Kurasimisha Rasilimali na Biashara za Wanyonge  Tanzania (MKURABITA).

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Kapt (Mst) Mhe. George Mkuchika (Mb) akitoa Hatimiliki ya Kimila kwa mmoja wa Wananchi wa Kijiji cha Inzomvu, Wilayani Mpwawa jana wakati wa ziara yake ya kikazi ya kukagua utekelezaji wa miradi ya  Mpango wa Kurasimisha Rasilimali na Biashara za Wanyonge  Tanzania (MKURABITA).

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Kapt (Mst) Mhe. George Mkuchika (Mb) akiwa katika picha ya pamoja na wananchi wa Kijiji cha Inzomvu Wilayani Mpwapwa aliowapatia Hatimiliki za Kimila jana wakati wa ziara yake ya kikazi ya kukagua utekelezaji wa miradi ya  Mpango wa Kurasimisha Rasilimali na Biashara za Wanyonge  Tanzania (MKURABITA). Kulia ni Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Dkt. Mary Mwanjelwa (Mb) na kushoto ni Mbunge wa Mpwapwa, Mhe. George Lubeleje.

Mratibu wa MKURABITA, Dkt. Seraphia Mgembe akitoa taarifa ya utekelezaji wa MKURABITA katika Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa kwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Kapt (Mst) Mhe. George Mkuchika (Mb) jana wakati wa ziara ya kikazi ya Waziri huyo ya kukagua utekelezaji wa miradi ya  Mpango wa Kurasimisha Rasilimali na Biashara za Wanyonge  Tanzania (MKURABITA) Wilayani Mpwapwa.

Mwakilishi wa Taasisi za Kifedha nchini ambaye ni Meneja wa NMB Tawi la Mpwapwa, Bi. Beatrice Mwasa akimthibitishia Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Kapt (Mst) Mhe. George Mkuchika (Mb) kuwa taasisi hizo ziko tayari kuwakopesha wananchi ili kuunga mkono jitihada za maendeleo zinazofanywa na wananchi kupitia hati hizo.

Baadhi ya wanufaika wa Hatimiliki za Kimila wa Kijiji cha Inzomvu Wilayani Mpwapwa wakiangalia Hati zao mara baada ya kukabidhiwa na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Kapt (Mst) Mhe. George Mkuchika (Mb) jana wakati wa ziara ya kikazi ya Waziri huyo ya kukagua utekelezaji wa miradi ya  Mpango wa Kurasimisha Rasilimali na Biashara za Wanyonge  Tanzania (MKURABITA).

Baadhi ya wananchi wa Kijiji cha Inzomvu Wilayani Mpwapwa wakimsikiliza Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Kapt (Mst) Mhe. George Mkuchika (Mb) (Hayupo pichani) alipokuwa akizungumza nao jana wakati wa ziara ya kikazi ya Waziri huyo ya kukagua utekelezaji wa miradi ya  Mpango wa Kurasimisha Rasilimali na Biashara za Wanyonge  Tanzania (MKURABITA).

No comments:

Post a Comment