Sunday, September 22, 2019

WATUMISHI WA UMMA KATIKA HALMASHAURI WATAKIWA KUFANYA KAZI KWA KUZINGATIA WELEDI

Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Dkt. Laurean Ndumbaro  akizungumza na watumishi wa Halmashauri ya Mji Ifakara na  Kilombero (hawapo pichani) wakati wa ziara yake ya kikazi wilayani humo yenye lengo la kuhimiza uwajibikaji kwa watumishi wa umma nchini.

Watumishi wa umma wa Halmashauri ya Mji Ifakara na  Kilombero wakimsikiliza Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Dkt. Laurean Ndumbaro (hayupo pichani)  wakati wa ziara ya kikazi ya Katibu Mkuu huyo wilayani humo yenye lengo la kuhimiza uwajibikaji kwa watumishi wa umma nchini..

Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Dkt. Laurean Ndumbaro (aliyesimama)  akizungumza na watumishi wa Halmashauri ya Mji Ifakara na  Kilombero (pichani) wakati wa ziara yake ya kikazi wilayani humo yenye lengo la kuhimiza uwajibikaji kwa watumishi wa umma nchini.

No comments:

Post a Comment