Monday, January 14, 2019

NAIBU KATIBU MKUU-UTUMISHI AOMBA USHIRIKIANO KUTOKA KWA WATUMISHI WA OFISI YAKE ILI KUFIKIA MALENGO YA MHE. RAIS YA KUTOA HUDUMA BORA KWA WANANCHI



Naibu Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Dkt. Francis Michael akisisitiza jambo kwa wajumbe wa kikao cha menejimenti ya ofisi yake (hawapo pichani) alipokutana nao leo jijini Dodoma kwa lengo kufahamiana na kuanza kazi rasmi.

Naibu Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Dkt. Francis Michael akizungumza na menejimenti ya ofisi yake alipokutana nao leo jijini Dodoma kwa lengo kufahamiana ili kuanza kazi rasmi.

Naibu Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Dkt. Francis Michael akitia saini kitabu cha wageni mara baada ya kuripoti ofisini kwake leo jijini Dodoma kwa ajili ya kuanza kazi rasmi.

Kaimu Mkurugenzi Idara ya Utawala na Usimamizi wa Rasilimaliwatu, Bw. Donald Bombo, akimtambulisha Naibu Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Dkt. Francis Michael kwa menejimenti ya Ofisi ya Rais, Utumishi na Utawala Bora, kabla ya Naibu Katibu Mkuu huyo kuzungumza na menejimenti leo jijini Dodoma.

Naibu Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Dkt. Francis Michael akisalimiana na Mkurugenzi wa Kitengo cha Ununuzi na Ugavi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Bw. Peter Mabale mara baada ya kuripoti  ofisini kwake  jijini  Dodoma leo kwa ajili ya kuanza kazi rasmi.

No comments:

Post a Comment