Tuesday, June 19, 2018

KATIBU MKUU - UTUMISHI ATOA HUDUMA SEHEMU YA MAPOKEZI KUADHIMISHA WIKI YA UTUMISHI WA UMMA, 2018



Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Dkt. Laurean Ndumbaro akitoa huduma kwa mdau eneo la mapokezi ya ofisi yake, ikiwa ni sehemu ya Maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa Umma kwa mwaka, 2018. 

Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Dkt. Laurean Ndumbaro akitoa huduma kwa mdau eneo la mapokezi ya ofisi yake ikiwa ni sehemu ya Maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa Umma kwa mwaka, 2018. 

Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Dkt. Laurean Ndumbaro akizungumza na wadau wa masuala ya kiutumishi waliofika kupata huduma katika ofisi yake eneo la mapokezi, ikiwa ni sehemu ya Maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa Umma kwa mwaka, 2018. 

Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Dkt. Laurean Ndumbaro akimsikiliza mmoja wa wadau wa masuala ya kiutumishi waliofika kupata huduma katika ofisi yake eneo la mapokezi, ikiwa ni sehemu ya Maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa Umma kwa mwaka, 2018.



No comments:

Post a Comment