Friday, June 8, 2018

SERIKALI YAWATAKA WAAJIRI NCHINI KUANDAA MAPEMA TAARIFA SAHIHI ZA WATUMISHI ILI WANAPOSTAAFU WAPATE MAFAO KWA WAKATI



Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Kapt (Mst) Mhe. George H. Mkuchika (Mb) akizungumza na Waandishi wa Habari (hawapo pichani) kuhusu mafao ya wastaafu katika ukumbi wa Habari wa Bunge jijini Dodoma leo.

Baadhi ya Waandishi wa Habari wakimsikiliza Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Kapt (Mst) Mhe. George H. Mkuchika (Mb) (hayupo pichani) katika ukumbi wa Habari wa Bunge jijini Dodoma leo.

No comments:

Post a Comment