Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na
Utawala Bora Kapteni (mstaafu) Mhe. George Mkuchika (Mb) akimsikiliza kwa
makini Balozi wa Uswiss nchini Tanzania na Zambia, Mhe. Florence Tinguely
Mattli (hayupo pichani) wakati wa kikao na Balozi huyo ofisini kwake leo jijini
Dodoma.
|
No comments:
Post a Comment