Friday, December 16, 2016

WANUFAIKA WA MAFUNZO YANAYOTOLEWA NA SERIKALI YA JAMHURI YA KOREA WATAKIWA KUFANYA KAZI KWA BIDII

Mwakilishi Mkazi wa Shirika la Ushirikiano wa Maendeleo la Kimataifa la Korea (KOICA), Bw. Joonsung PARK, akitoa neno la utangulizi wakati wa Mkutano Mkuu wa Mwaka wa Jumuiya ya Watanzania waliosoma nchini Korea (KOICA/KAAT) uliofanyika jijini Dar es Salaam.

Naibu Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Bi. Susan Mlawi akifungua Mkutano Mkuu wa Mwaka wa Jumuiya ya Watanzania waliosoma nchini Korea (KOICA/KAAT) uliofanyika jijini Dar es Salaam.

Baadhi ya wanufaika wa mafunzo yanayotolewa na Serikali ya Jamhuri ya Korea kupitia KOICA wakimsikiliza Naibu Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Bi. Susan Mlawi (hayupo pichani) alipokuwa akifungua Mkutano Mkuu wa Mwaka wa Jumuiya ya Watanzania waliosoma nchini Korea (KOICA/KAAT) uliofanyika jijini Dar es Salaam.

Naibu Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Bi. Susan Mlawi akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya wanufaika wa mafunzo yanayotolewa na Serikali ya Jamhuri ya Korea kupitia KOICA mara baada ya kufungua Mkutano Mkuu wa Mwaka wa Jumuiya ya Watanzania waliosoma nchini Korea (KOICA/KAAT) uliofanyika jijini Dar es Salaam.


No comments:

Post a Comment