Tuesday, December 20, 2016

SERIKALI YAWASHUKURU WATAALAM WA KUJITOLEA WALIOMALIZA MUDA WAO WA KUTOA HUDUMA NCHINI

Naibu Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Bi. Susan Mlawi akizungumza na Wataalam wa kujitolea kutoka Japani waliomaliza muda wao wa kutoa huduma nchini, wakati wa hafla fupi ya kuwaaga wataalam hao iliyofanyika Ofisi ya Rais-Utumishi

Naibu Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Bi. Susan Mlawi akiwa katika mazungumzo na Wataalam wa kujitolea kutoka Japani waliomaliza muda wao wa kutoa huduma nchini, wakati wa hafla fupi ya kuwaaga wataalam hao iliyofanyika Ofisi ya Rais-Utumishi.

Naibu Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Bi. Susan Mlawi akimkabidhi zawadi Mtaalam wa kujitolea kutoka Japani aliyemaliza muda wake wa kutoa huduma nchini, Bw. Hiroshi Mikuni, wakati wa hafla fupi ya kuwaaga wataalam hao iliyofanyika Ofisi ya Rais-Utumishi 

Naibu Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Bi. Susan Mlawi akiwa katika picha ya pamoja na Wataalam wa kujitolea kutoka Japani waliomaliza muda wao wa kutoa huduma nchini, baada ya hafla fupi ya kuwaaga wataalam hao iliyofanyika Ofisi ya Rais-Utumishi 

Naibu Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Bi. Susan Mlawi akiagana na Wataalam wa kujitolea kutoka Japani waliomaliza muda wao wa kutoa huduma nchini, mara baada ya hafla fupi ya kuwaaga wataalam hao iliyofanyika Ofisi ya Rais-Utumishi

No comments:

Post a Comment