Friday, November 25, 2016

WAKALA ZA SERIKALI ZATAKIWA KUBADILISHANA UZOEFU KIUTENDAJI ILI KUBORESHA HUDUMA

Mkurugenzi wa Idara ya Uchambuzi na Ushauri wa Kazi wa Ofisi ya Rais-Utumishi, Bw. Mick Kiliba akifungua kikao cha Mrejesho wa Ufuatiliaji na Utekelezaji wa Mifumo na Viwango vya Utendaji kazi kwa Wakala za Serikali kilichofanyika katika ukumbi wa Wakala ya Mafunzo kwa Njia ya Mtandao (TaGLA).

Mkurugenzi wa Idara ya Uchambuzi na Ushauri wa Kazi wa Ofisi ya Rais-Utumishi, Bw. Mick Kiliba akiongoza mjadala katika kikao cha Mrejesho wa Ufuatiliaji na Utekelezaji wa Mifumo na Viwango vya Utendaji kazi kwa Wakala za Serikali kilichofanyika katika ukumbi wa Wakala ya Mafunzo kwa Njia ya Mtandao (TaGLA).


Baadhi ya washiriki kutoka Wakala Mbalimbali za Serikali wakifuatilia mada katika kikao cha Mrejesho wa Ufuatiliaji na Utekelezaji wa Mifumo na Viwango vya Utendaji kazi kwa Wakala za Serikali kilichofanyika katika ukumbi wa Wakala ya Mafunzo kwa Njia ya Mtandao (TaGLA).
Mkurugenzi Msaidizi Sehemu ya Mifumo na Viwango vya Utendaji Kazi kutoka Ofisi ya Rais - Utumishi, Bi. Veila Shoo akiwasilisha taarifa ya utekelezaji wa Mifumo na Viwango vya Utendaji Kazi kwa Wajumbe kutoka katika Wakala mbalimbali za Serikali katika ukumbi wa Wakala za Serikali katika kikao kilichofanyika ukumbi wa Wakala kwa Njia ya Mtandao (TaGLA) leo. Katikati ni Mkurugenzi wa Idara ya Uchambuzi na Ushauri wa Kazi wa Ofisi ya Rais-Utumishi, Bw. Mick Kiliba na kushoto ni Mtendaji Mkuu wa Wakala ya Ukaguzi wa Madini Tanzania (TMAA), Bw. Dominic Rwekaza.

Kaimu Mtendaji Mkuu wa chuo cha Utumishi wa Umma Tanzania (TPSC) Dkt. Henry Mambo akichangia mada kuhusu taarifa ya utekelezaji wa Mifumo na Viwango vya Utendaji Kazi kwa Wakala mbalimbali za Serikali katika ukumbi wa Wakala za Serikali katika kikao kilichofanyika ukumbi wa Wakala kwa Njia ya Mtandao (TaGLA).


.

No comments:

Post a Comment