Monday, November 28, 2016

MHE. KAIRUKI AFANYA MAZUNGUMZO NA BALOZI WA UFARANSA NCHINI TANZANIA

Balozi wa Ufaransa nchini Tanzania Bi. Malika BARAK akizungumza na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais,Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Angellah J. Kairuki (Mb) (hayupo pichani) kuhusu Mpango wa Uendeshaji wa Shughuli za Serikali kwa Uwazi (OGP) alipomtembelea Waziri huyo

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais,Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Angellah J. Kairuki (Mb) akipitia nyaraka zilizowasilishwa na  Balozi wa Ufaransa nchini Tanzania Bi. Malika BARAK alipomtembelewa na balozi huyo ofisini kwake.

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais,Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Angellah J. Kairuki (Mb) akisisitiza jambo kwa Balozi wa Ufaransa nchini Tanzania Bi. Malika BARAK (kulia) mara baada ya kupokea nyaraka kutoka kwa balozi huyo.

No comments:

Post a Comment