Monday, February 1, 2016

Katibu Mkuu-Utumishi Dkt. Laurean Ndumbaro atembelea Idara ya Kumbukumbu na Nyaraka za Taifa

Baadhi ya Watumishi wa Idara ya Kumbukumbu na Nyaraka za Taifa wakimsikiliza Katibu Mkuu-Utumishi Dkt. Laurean Ndumbaro (hayupo pichani) katika kikao kilichofanyika ofisini hapo.
Katibu Mkuu-Utumishi Dkt. Laurean Ndumbaro akiwa katika kikao na Watumishi wa Idara ya Kumbukumbu na Nyaraka za Taifa.
Baadhi ya Watumishi wa Idara ya Kumbukumbu na Nyaraka za Taifa wakimsikiliza Katibu Mkuu-Utumishi Dkt. Laurean Ndumbaro (hayupo pichani) katika kikao kilichofanyika ofisini hapo.

No comments:

Post a Comment