Wednesday, February 17, 2016

UTUMISHI YAPOKEA WATAALAM WATANO WA KUJITOLEA KUTOKA NCHINI JAPAN

Kaimu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais- Menejimenti ya Utumishi wa Umma Bw. Mathias Kabunduguru (katikati) akizungumza na Wataalam wa Kujitolea kutoka nchini Japan waliokuja kutoa huduma katika sekta ya viwanda,elimu na afya waliporipoti ofisi za Utumishi. 
Kaimu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais- Menejimenti ya Utumishi wa Umma Bw. Mathias Kabunduguru (katikati mstari wa mbele) katika picha ya pamoja na Wataalam wa Kujitolea kutoka nchini Japan waliokuja kutoa huduma katika sekta ya viwanda,elimu na afya 

No comments:

Post a Comment