Thursday, August 13, 2015

Watanzania walionufaika na ufadhili wa masomo nchini Japan Waagwa

Balozi wa Japani nchini Tanzania Bw. Masaharu Yoshida akizungumza wakati wa hafla fupi ya kuwaaga Watanzania walionufaika na ufadhili wa masomo wa mpango wa ABE Initiative unaoratibiwa na JICA.  
Kaimu Katibu Mkuu Utumishi Bw. HAB Mkwizu (wa sita kutoka kulia) na Balozi wa Japan nchini Bw. Masaharu Yoshida (wa tano kutoka kulia) wakiwa katika picha ya pamoja na watanzania wakionufaika na ufadhili wa mpango wa ABE baada ya hafla fupi ya kuwaaga iliyofanyika nyumbani kwa Balozi wa Japani. Wengine ni Maofisa kutoka Utumishi na JICA.

No comments:

Post a Comment