Wednesday, August 12, 2015

Mwili wa aliyekuwa Mhasibu Mkuu wa Ofisi ya Rais-Utumishi Bw. Boniphace O. Haule aliyefariki nchini India,wawasili jijini Dar es Salaam

Mwili wa aliyekuwa Mhasibu Mkuu wa Ofisi ya Rais-Utumishi Bw. Boniphace O. Haule ukiwa katika gari baada ya kupokelewa katika kiwanja cha ndege cha Kimataifa cha Mwalimu J.K Nyerere.


No comments:

Post a Comment