Thursday, August 27, 2015

WATUMISHI WA OFISI YA RAIS-UTUMISHI WAPATA MAFUNZO KUHUSU VVU NA UKIMWI NA NAMNA YA KUISHI KWA MTINDO BORA WA MAISHA

Kaimu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais-Utumishi Bw. HAB Mkwizu (wa kwanza kutoka kulia) na baadhi ya watumishi wa Ofisi hiyo wakifuatilia mada kuhusu VVU na UKIMWI na namna ya kuishi kwa mtindo bora wa maisha katika mafunzo yaliyofanyika Ukumbi wa Utumishi mapema jana.

Kaimu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais-Utumishi Bw. HAB Mkwizu (kushoto) akiwasisitiza watumishi wa Ofisi hiyo kuzingatia mafunzo waliyoyapata kuhusu VVU na UKIMWI na namna ya kuishi kwa mtindo bora wa maisha katika mafunzo yaliyofanyika Ukumbi wa Utumishi mapema jana. Kushoto kwake ni Dkt. Hafidh Ameir kutoka TACAIDS.

Mmoja wa watumishi wa Ofisi ya Rais-Utumishi (kulia) akipima VVU na UKIMWI baada ya kupata mafunzo kuhusu VVU na UKIMWI na namna ya kuishi kwa mtindo bora wa maisha katika mafunzo yaliyofanyika Ukumbi wa Utumishi mapema jana.

No comments:

Post a Comment