Wednesday, August 19, 2015

Mkutano wa mwaka wa Serikali Mtandao wafunguliwa rasmi jijini Arusha

Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Y. Sefue akifungua mkutano wa kwanza wa Serikali Mtandao kwa Watendaji Wakuu na Viongozi wa Serikali, Arusha.

Sehemu ya washiriki wa mkutano wakimsikiliza mgeni rasmi Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Y. Sefue (hayupo pichani).

Kaimu Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma Bw. HAB Mkwizu akimkaribisha mgeni rasmi kufungua mkutano.

Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Y. Sefue akikaribishwa na Kaimu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais-Utumishi Bw. HAB Mkwizu katika mkutano kuhusu Serikali Mtandao katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Arusha (AICC).

No comments:

Post a Comment