Monday, July 13, 2015

MKUTANO WA 12 WA WAKUU WA UTUMISHI WA JUMUIYA YA MADOLA BARANI AFRIKA WAANZA


Mmoja wa Wajumbe wa mkutano wa Wakuu wa Utumishi wa Jumuiya ya Madola Barani Afrika kutoka Afrika Kusini Bi.Colette Clark akipokewa na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni  Y. Sefue.


Mmoja wa Wajumbe wa mkutano wa Wakuu wa Utumishi wa Jumuiya ya Madola Barani Afrika kutoka Afrika Rwanda Bw. Gaspard Musonera akipokewa na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni  Y. Sefue.

No comments:

Post a Comment