Thursday, March 26, 2015

KATIBU MKUU UTUMISHI ASTAAFU UTUMISHI WA UMMA

MAKABIDHIANO: Katibu Mkuu Utumishi Bw.George D. Yambesi (kushoto) akikabidhi ofisi baada ya kustaafu Utumishi wa Umma kwa Naibu Katibu Mkuu Utumishi Bw.HAB Mkwizu.   

HONGERA KWA KUWA MTUMISHI MIAKA 38: Katibu Mkuu -Utumishi Bw. George D. Yambesi (katikati) akipongezwa na Mkurugenzi wa Idara ya Utawala na Rasilimali Watu Bw. Aloyce Msigwa, (kushoto) ni Naibu Katibu Mkuu-Utumishi Bw. HAb Mkwizu. Bw. Yambesi amestaafu Utumishi wa Umma.

No comments:

Post a Comment