Wednesday, March 4, 2015

UTUMISHI YAENDELEA NA VIKAO KAZI KWA NJIA YA MTANDAO (VIDEO CONFERENCE)

Baadhi ya maofisa wa TAMISEMI,TaGLA na mikoa ya Ruvuma, Mara na Mbeya wakishiriki kikao kazi kwa njia ya video (Video Conference) .

Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais – Utumishi Bw. HAB Mkwizu (katikati) akiongoza kikao kazi kwa njia ya video (Video Conference) kilichofanyika kati ya Utumishi,TAMISEMI,TaGLA na mikoa ya Ruvuma ,Mara,Mbeya, Singida na Pwani.

Baadhi ya Maofisa wa Ofisi ya Rais – Utumishi wakiwa katika kikao kazi kwa njia ya video (Video Conference) kati ya Utumishi,TAMISEMI,TaGLA na mikoa ya Ruvuma ,Mara,Mbeya, Singida na Pwani.

No comments:

Post a Comment