Friday, March 13, 2015

KATIBU MKUU UTUMISHI ATEULIWA KUWA KAMISHNA TUME YA UTUMISHI WA UMMA

Rais Jakaya Kikwete (kushoto), akimwapisha Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma, George Yambesi, kuwa Kamishna wa Tume ya Utumishi wa Umma, wakati alipokuwa akiwaapisha makamishna wa tume hiyo, Ikulu, Dar es Salaam.

No comments:

Post a Comment