Thursday, December 31, 2015

OFISI YA RAIS-UTUMISHI YAWATAHADHARISHA WANANCHI KUHUSU UTAPELI


MHE. KAIRUKI ATEMBELEA WAKALA YA SERIKALI MTANDAO NA CHUO CHA UTUMISHI WA UMMA

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais – Utumishi na Utawala Bora Mhe. Angella Kairuki (Mb) akishuhudia sehemu ya kusimamia mtandao wa mawasiliano wa Serikali alipotembelea Wakala ya Serikali Mtandao (eGA) 

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais – Utumishi na Utawala Bora Mhe. Angella Kairuki (Mb) akizungumza na vyombo vya habari alipotembelea Wakala ya Serikali Mtandao (eGA)

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais – Utumishi na Utawala Bora Mhe. Angella Kairuki (Mb) akishuhudia Mkongo wa Mawasiliano wa Taifa alipotembelea Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL) 

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais – Utumishi na Utawala Bora Mhe. Angella Kairuki (Mb) akizungumza na vyombo vya habari alipokitembelea Chuo cha Utumishi wa Umma (Magogoni)

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais – Utumishi na Utawala Bora Mhe. Angella Kairuki (Mb) akiwa katika picha ya pamoja na watumishi wa Chuo cha Utumishi wa Umma alipokitembelea

Add caption

Wednesday, December 30, 2015

MHE. KAIRUKI AENDELEA NA ZIARA KUZITEMBELEA TAASISI ZILIZO CHINI YA OFISI YAKE

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais – Utumishi na Utawala Bora Mhe. Angella Kairuki (Mb) (wa pili kulia) akizungumza na watumishi wa Bodi ya Mishahara na Masilahi katika Utumishi wa Umma alipoitembelea ofisi hiyo.

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais – Utumishi na Utawala Bora Mhe. Angella Kairuki (Mb) (kushoto) akimsikiliza Katibu wa Tume ya Utumishi wa Umma Bi. Claudia Mpangala alipoitembelea ofisi hiyo.

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais – Utumishi na Utawala Bora Mhe. Angella Kairuki (Mb) (kushoto) akiwahimiza watumishi wa  Tume ya Utumishi wa Umma kuwajibika alipoitembelea ofisi hiyo.

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais – Utumishi na Utawala Bora Mhe. Angella Kairuki (Mb) akitazama nyaraka inayoandaliwa kutunzwa katika nakala laini (soft copy) alipoitembelea Idara ya Kumbukumbu na Nyaraka za Taifa.

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais – Utumishi na Utawala Bora Mhe. Angella Kairuki (Mb) (kulia) akitazama moja ya kifaa cha kutunzia kumbukumbu  alipoitembelea Idara ya Kumbukumbu na Nyaraka za Taifa