Tuesday, April 17, 2018

WATUMISHI WA UMMA 4,812 KUNUFAIKA NA MAFUNZO NCHINI CHINA C


Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma Dkt. Laurean Ndumbaro akizungumza na Waandishi wa Habari leo Ukumbi wa Idara ya Habari - Bunge kuhusu Watumishi wa Umma 4,812 kunufaika na fursa 659 za mafunzo ya muda mfupi na mrefu zilizotolewa na Serikali ya Jamhuri ya Watu wa China kwa mwaka 2018.


Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma Dkt. Laurean Ndumbaro  akifafanua jambo kuhusu  Watumishi wa Umma 4,812 watakaonufaika na fursa 659 za mafunzo ya muda mfupi na mrefu zilizotolewa na Serikali ya Jamhuri ya Watu wa China kwa mwaka 2018.

No comments:

Post a Comment