Wednesday, January 31, 2018

SERIKALI KUZIFIKIA KAYA ZOTE MASIKINI NCHINI


TAARIFA KWA UMMA

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Kapteni (Mstaafu) Mhe. George H. Mkuchika (Mb) akijibu swali kuhusu utekelezaji wa Mpango wa Kunusuru Kaya Masikini nchini Bungeni leo.


No comments:

Post a Comment