Wednesday, February 8, 2017

UTUMISHI YATOA UFAFANUZI KUHUSU MWONGOZO WA KUDHIBITI VVU,UKIMWI NA MAGONJWA SUGU YASIYOAMBUKIZWA MAHALI PA KAZI KATIKA UTUMISHI WA UMMA KATIKA KIPINDI CHA MORNING TRUMPET KINACHORUSHWA NA AZAM TV

Mtangazaji wa Kipindi cha “Morning Trumpet” kinachorushwa na AZAM TV, Bw. Faraja Sendegeya (kushoto) akifanya mahojiano na Mkurugenzi kutoka Kitengo cha Anuai za Jamii cha Ofisi ya Rais -Utumishi Bi. Anne Mazalla . Kipindi hicho kililenga kutoa elimu kwa umma juu ya masuala anuai za jamii na kilirushwa mapema leo.

Mkurugenzi wa Kitengo cha Anuai za Jamii Bi. Anne Mazalla wa Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma (wa pili kutoka kulia) akifafanua jambo kuhusiana na masuala mbalimbali ya Anuai za Jamii wakati wa Kipindi cha “Morning Trumpet “ kinachorushwa na AZAM TV kilichofanyika mapema leo. Wengine ni Kamishna kutoka Idara ya Uhamiaji Bi. Salome Kahambwa (wa pili kutoka kushoto),Mtangazaji wa kipindi hicho Bw. Faraja Sendegeya (kushoto) na mgeni wa kipindi Bi. Noela Mahuvi (kulia).

No comments:

Post a Comment