Tuesday, May 10, 2016

Utumishi yatoa matokeo ya Ufuatiliaji wa Mifumo na Viwango vya Taasisi za Umma nchini.

Mkurugenzi Idara ya Uchambuzi na Ushauri Kazi Bw. Mick Kiliba (katikati) akifungua kikao kuhusu Ufuatiliaji wa Mifumo na Viwango vya Taasisi za Umma nchini kilichofanyika ukumbi wa Utumishi. 
Wawakilishi kutoka Taasisi mbalimbali za Umma nchini wakifuatilia mada.

Mkurugenzi Msaidizi Bi. Veila Shoo akiwasilisha matokeo kuhusu Ufuatiliaji wa Mifumo na Viwango vya kwa Taasisi za Umma nchini, wanaomsikiliza ni sehemu ya wawakilishi kutoka katika Taasisi za Umma.

No comments:

Post a Comment