Thursday, April 14, 2016

Balozi wa Ireland nchini Tanzania Mhe. Fionnuala Gilsenan amtembelea Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Utumishi na Utawala Bora Mh. Angellah Kairuki (Mb)

Balozi wa Ireland nchini Tanzania Mhe. Fionnuala Gilsenan (kushoto) akizungumza na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mh. Angellah Kairuki (Mb) alipomtembelea ofisini kwake. 
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mh. Angellah Kairuki (Mb) (kulia) akizungumza na Balozi wa Ireland nchini Tanzania Mhe. Fionnuala Gilsenan alipotembelea ofisini kwake.

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mh. Angellah Kairuki (Mb) (kulia) akizungumza na Balozi wa Ireland nchini Tanzania Mhe. Fionnuala Gilsenan alipotembelea ofisini kwake.

No comments:

Post a Comment