Tuesday, April 5, 2016

Mh.Kairuki azungumza na vyombo vya habari kuhusu Watumishi wanaoondolewa katika Orodha ya Malipo ya Mishahara


Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Angellah Kairuki (Mb) akizungumza na waandishi wa habari kuhusu Watumishi wanaoondolewa katika Orodha ya Malipo ya Mishahara (payroll)  ofisini kwake. 
Mkurugenzi Idara ya Usimamizi wa Rasilimaliwatu Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma Bw. Emmanuel Mlay (kushoto) akifafanua jambo wakati wa mkutano na waandishi wa habari kuhusu Watumishi wanaoondolewa katika Orodha ya Malipo ya Mishahara (payroll) uliofanyika ukumbi wa Utumishi.

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Angellah Kairuki (Mb) akizungumza na waandishi wa habari kuhusu Watumishi wanaoondolewa katika Orodha ya Malipo ya Mishahara (payroll)  ofisini kwake.  
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Angellah Kairuki (Mb) akizungumza na waandishi wa habari kuhusu Watumishi wanaoondolewa katika Orodha ya Malipo ya Mishahara (payroll)  ofisini kwake. Kulia kwake ni Katibu Mkuu Ofisi ya Rais, Utumishi Dkt. Laurean Ndumbaro na Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais, Utumishi Bi. Susan Mlawi. 
Mwandishi wa Habari kutoka Habarileo Bw. Shadrack Sagati (wa pili kutoka kushoto) akiuliza swali wakati wa mkutano kati ya Waziri wa Utumishi na Utawala Bora Mh. Angellah Kairuki (Mb) na waandhishi wa habari uliofanyika ukumbi wa Utumishi.

No comments:

Post a Comment