Sunday, November 29, 2015

WATUMISHI WA UMMA WAHIMIZWA KUFANYA MAZOEZI

Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais -Utumishi Bw.Tixon Nzunda (kulia) akiwahimiza watumishi kujenga utaratibu wa kufanya mazoezi mara kwa mara katika bonanza lililofanyika viwanja vya Leaders jijini Dar es Salaam.  
Baadhi ya watumishi wa Ofisi ya Rais-Utumishi wakifanya mazoezi ya viungo katika bonanza lililofanyika viwanja vya Leaders Club jijini Dar es Salaam.  
Baadhi  ya watumishi wa Ofisi ya Rais-Utumishi wakishiriki bonanza lililoandaliwa na ofisi hiyo katika viwanja vya Leaders Club jijini Dar es Salaam.

No comments:

Post a Comment