Sunday, November 29, 2015

KATIBU MKUU UTUMISHI AWAHIMIZWA WATUMISHI KUWAJIBIKA

Katibu Mkuu Ofisi ya Rais-Utumishi Bw. HAB Mkwizu (kushoto) akizungumza na watumishi wa Ofisi ya Rais-Utumishi na Watendaji Wakuu wa ofisi zilizo chini yake katika kikao cha kuhimiza uwajibikaji kilichofanyika ofisini kwake. 
Baadhi ya watumishi wa Ofisi ya Rais-Utumishi na Watendaji Wakuu wa Taasisi zilizo chini ya ofisi hiyo wakimsikiliza Katibu Mkuu Ofisi ya Rais-Utumishi Bw. HAB Mkwizu (hayupo pichani) wakati wa kikao cha wafanyakazi wote kilichofanyika ofisini hapo kwa lengo la kuhimiza uwajibikaji.

No comments:

Post a Comment