Monday, November 30, 2015

VIONGOZI OFISI YA RAIS- UTUMISHI WALA KIAPO CHA UADILIFU

Katibu Mkuu Ofisi ya Rais-Utumishi Bw.HAB Mkwizu akitia saini fomu ya Ahadi ya Uadilifu kwa watumishi wa Umma ya Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais-Utumishi Bw. Tixon Nzunda (kulia).

 Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais-Utumishi Bw. Tixon Nzunda (kushoto) akielekeza namna ya kutoa Ahadi ya Uadilifu kwa watumishi wa Umma. 

Wakuu wa Idara na Vitengo wa Ofisi ya Rais-Utumishi wakiweka Ahadi za Uadilifu katika fomu maalum wakati wa zoezi hilo lililoratibiwa na Katibu Mkuu Ofisi ya Rais-Utumishi Bw.HAB Mkwizu .

Wakuu wa Idara na Vitengo wa Ofisi ya Rais-Utumishi wakila kiapo cha  Uadilifu kwa Katibu Mkuu Ofisi ya Rais-Utumishi Bw.HAB Mkwizu (kushoto).
Katibu Mkuu Ofisi ya Rais-Utumishi Bw.HAB Mkwizu (kushoto) akimkabidhi Mkurugenzi wa Idara ya Ukuzaji wa Maadili wa Ofisi ya Rais-Utumishi Bw.Mathew Kirama fomu maalum ya kuweka Ahadi ya Uadilifu kwa Watumishi wa Umma.

No comments:

Post a Comment