Wednesday, May 13, 2020

WAJUMBE BARAZA JIPYA LA MAADILI YA VIONGOZI WATAKIWA KUTEKELEZA WAJIBU WAO KWA WELEDI



Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Kapt (Mst) Mhe.George Mkuchika (Mb) akimsikiliza Kamishna wa Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma, Jaji Mstaafu, Mhe. Harold Nsekela alipokuwa akiwatambulisha Wajumbe wapya wa Baraza la Maadili ya Viongozi waliofika ofisini kwa Mhe. Waziri jijini Dodoma kujitambulisha. 



Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Kapt (Mst) Mhe.George Mkuchika (Mb) akiwa katika picha ya pamoja na Wajumbe wa Baraza la Maadili ya Viongozi waliofika ofisini kwake jijini Dodoma kujitambulisha. Wa kwanza kulia kwa Mhe. Waziri ni Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Dkt. Mary Mwanjelwa (Mb) na wa kwanza kushoto ni Mwenyeki wa Baraza la Maadili ya Viongozi wa Umma, Jaji Mstaafu Mhe. Ibrahim Mipawa.

 

No comments:

Post a Comment