Thursday, November 15, 2018

SERIKALI YAWAPANDISHA MADARAJA WATUMISHI WA UMMA 113,520 WALIOAJIRIWA TANGU MWAKA 2012



Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Dkt. Mary M. Mwanjelwa (Mb) akijibu swali la Mhe. Joram Hongoli (Mb) Bungeni leo, kwa niaba ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora lililohusu upandishwaji wa madaraja kwa watumishi wa umma walioajiriwa mwaka 2012.

No comments:

Post a Comment