Friday, February 13, 2015

Sehemu ya wataalam wa kujitolea kutoka nchini Japani waliokuja nchini kutoa huduma kwa kujitolea katika maeneo mbalimbali wakitoka nje ya Ofisi ya Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma baada ya hafla fupi ya kuwakaribisha nchini.

No comments:

Post a Comment