Tuesday, January 13, 2015

MABADILIKO KATIKA KLABU YA MICHEZO YA UTUMISHI

Kamati iliyosimamia zoezi la uchaguzi wa viongozi wa klabu ya michezo ya Ofisi ya Rais,Menejimenti ya Utumishi wa Umma.

Mwenyekiti Mpya wa Klabu ya Michezo ya Ofisi ya Rais,Menejimenti ya Utumishi wa Umma Bw.Seushi Mburi akizungumza baada ya kuchaguliwa kuiongoza klabu hiyo katika uchaguzi ulichofanyika Utumishi hivi karibuni.
Mkurugenzi Msaidizi Idara ya Utawala,Ofisi ya Rais Menejimenti ya Tumishi wa Umma  Bi.Jane Kajiru akizungumza kuhusu umuhimu wa michezo mahala pa kazi.
Sehemu ya wagombea waliojitosa katika kinyang'anyiro cha uchaguzi.
Sehemu ya wapiga kura waliojitokeza.
Sehemu ya wagombea waliojitosa katika kinyang'anyiro cha uchaguzi.

No comments:

Post a Comment